Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 6:32 - Swahili Revised Union Version

32 Maana mkiwapenda wale wawapendao ninyi, mwaonesha fadhili gani? Kwa kuwa hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 “Na ikiwa mnawapenda tu wale wanaowapenda nyinyi, je, mtapata tuzo gani? Hakuna! Kwa maana hata wenye dhambi huwapenda wale wanaowapenda wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 “Na ikiwa mnawapenda tu wale wanaowapenda nyinyi, je, mtapata tuzo gani? Hakuna! Kwa maana hata wenye dhambi huwapenda wale wanaowapenda wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 “Na ikiwa mnawapenda tu wale wanaowapenda nyinyi, je, mtapata tuzo gani? Hakuna! Kwa maana hata wenye dhambi huwapenda wale wanaowapenda wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 “Mkiwapenda tu wale wanaowapenda, mwapata sifa gani? Hata wenye dhambi huwapenda wale wanaowapenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 “Kama mkiwapenda tu wale wanaowapenda, mwapata sifa gani? Hata ‘wenye dhambi’ huwapenda wale wawapendao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Maana mkiwapenda wale wawapendao ninyi, mwaonesha fadhili gani? Kwa kuwa hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.

Tazama sura Nakili




Luka 6:32
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mwaonesha fadhili gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo