Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 6:33 - Swahili Revised Union Version

33 Nanyi mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mwaonesha fadhili gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Tena, kama mkiwatendea mema wale tu wanaowatendeeni mema, mtapata tuzo gani? Hata wenye dhambi hufanya hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Tena, kama mkiwatendea mema wale tu wanaowatendeeni mema, mtapata tuzo gani? Hata wenye dhambi hufanya hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Tena, kama mkiwatendea mema wale tu wanaowatendeeni mema, mtapata tuzo gani? Hata wenye dhambi hufanya hayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Tena mkiwatendea mema wale tu wanaowatendea ninyi mema, mwapata sifa gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Tena mkiwatendea mema wale tu wanaowatendea ninyi mema, mwapata sifa gani? Hata ‘wenye dhambi’ hufanya vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Nanyi mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mwaonesha fadhili gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili




Luka 6:33
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye awaoneaye maskini ili kuongeza mapato, Naye ampaye tajiri, hupata hasara.


Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.


Maana mkiwapenda wale wawapendao ninyi, mwaonesha fadhili gani? Kwa kuwa hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.


Na mkiwakopesha watu huku mkitumaini kupata kitu kwao, mwaonesha fadhili gani? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, ili warudishiwe vile vile.


Waamuru watende mema, wawe matajiri katika kutenda mema, wawe wakarimu na wawe tayari kushiriki na wengine;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo