Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 5:32 - Swahili Revised Union Version

32 Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi, wapate kutubu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, wapate kutubu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, wapate kutubu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, wapate kutubu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi, wapate kutubu.

Tazama sura Nakili




Luka 5:32
26 Marejeleo ya Msalaba  

Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.


Angalieni msidharau mmojawapo wa wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. [


Lakini nendeni, mkajifunze maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka; kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.


Kwa maana alitambua ya kuwa wakuu wa makuhani wamemtoa kwa husuda.


Palikuwa na mtu aitwaye Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi, waliosababisha mauaji katika uhalifu huo.


Yesu aliposikia aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa; sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.


Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.


Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu.


Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.


na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.


Yesu akajibu akawaambia, Wenye afya hawana haja na tabibu, isipokuwa walio wagonjwa.


Nao wakamwambia, Wanafunzi wa Yohana hufunga mara nyingi, na kuomba dua; na kadhalika wanafunzi wa Mafarisayo; lakini wanafunzi wako hula na kunywa!


Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu.


Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.


nikiwashuhudia Wayahudi na Wagiriki wamtubie Mungu, na kumwamini Bwana wetu Yesu Kristo.


Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana;


Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, ili kuwabariki kwa kumwepusha kila mmoja wenu na maovu yake.


Mtu huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kulia, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.


Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wanavyodhani anakawia, bali huwavumilia, maana hapendi mtu yeyote apotee, bali wote wafikie toba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo