Luka 23:4 - Swahili Revised Union Version4 Pilato akawaambia wakuu wa makuhani na mkutano, Sioni neno lililo ovu katika mtu huyu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Pilato akawaambia makuhani wakuu na umati wa watu, “Sioni kosa lolote katika mtu huyu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Pilato akawaambia makuhani wakuu na umati wa watu, “Sioni kosa lolote katika mtu huyu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Pilato akawaambia makuhani wakuu na umati wa watu, “Sioni kosa lolote katika mtu huyu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Pilato akawaambia viongozi wa makuhani na umati ule wote, “Sioni msingi wowote wa kumshtaki mtu huyu!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Pilato akawaambia viongozi wa makuhani na watu wote waliokuwepo, “Sioni sababu ya kutosha kumshtaki mtu huyu!” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Pilato akawaambia wakuu wa makuhani na mkutano, Sioni neno lililo ovu katika mtu huyu. Tazama sura |