Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 23:32 - Swahili Revised Union Version

32 Wakapelekwa na wawili wengine, wahalifu, wauawe pamoja naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Waliwachukua pia watu wengine wawili, wahalifu, wauawe pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Waliwachukua pia watu wengine wawili, wahalifu, wauawe pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Waliwachukua pia watu wengine wawili, wahalifu, wauawe pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Watu wawili wahalifu walipelekwa pamoja na Isa ili wakasulubiwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Watu wengine wawili wahalifu, walipelekwa pamoja na Isa ili wakasulubiwe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Wakapelekwa na wawili wengine, wahalifu, wauawe pamoja naye.

Tazama sura Nakili




Luka 23:32
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo nitamgawia sehemu pamoja na wakuu, Naye atagawana nyara pamoja nao walio hodari; Kwa sababu alimwaga nafsi yake hata kufa, Akahesabiwa pamoja na hao wakosao. Walakini alichukua dhambi za watu wengi, Na kuwaombea wakosaji.


Wakati uo huo wanyang'anyi wawili wakasulubiwa pamoja naye, mmoja katika mkono wake wa kulia, na mmoja katika mkono wake wa kushoto.


Na pamoja naye walisulubisha wanyang'anyi wawili, mmoja mkono wake wa kulia na mmoja mkono wake wa kushoto. [


Kwa kuwa nawaambia, hayo yaliyoandikwa hayana budi kutimizwa kwangu; ya kuwa, Alihesabiwa pamoja na wahalifu. Kwa sababu yanipasayo yanao mwisho wake.


Kwa kuwa kama wakitenda mambo haya katika mti mbichi, itakuwaje katika mkavu?


Wakamsulubisha huko, na wengine wawili pamoja naye, mmoja huku na mmoja huku, na Yesu katikati.


Nami katika hiyo nimeteswa hata kufungwa kama mtenda mabaya; lakini neno la Mungu halifungwi.


tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo