Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 23:31 - Swahili Revised Union Version

31 Kwa kuwa kama wakitenda mambo haya katika mti mbichi, itakuwaje katika mkavu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Kwa maana kama wamefanya hivi kwa mti mbichi, kwa mti mkavu itakuwaje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Kwa maana kama wamefanya hivi kwa mti mbichi, kwa mti mkavu itakuwaje?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Kwa kuwa kama wakitenda mambo haya katika mti mbichi, itakuwaje katika mkavu?

Tazama sura Nakili




Luka 23:31
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa, mwenye haki atalipwa duniani; Je, mwovu na mkosaji hawatalipwa mara nyingi zaidi?


Maana angalieni, ninaanza kutenda mabaya katika mji uitwao kwa jina langu, je! Mtaachiliwa ninyi msiadhibiwe? Hamtaachiliwa msiadhibiwe; kwa maana nitauita upanga ule uwapige wote wakaao katika dunia, asema BWANA wa majeshi.


Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.


Ambaye pepeto lake li mkononi mwake, naye atausafisha sana uwanda wake; na kuikusanya ngano yake ghalani, bali makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.


Ndipo watakapoanza kuiambia milima, Tuangukieni, na vilima, Tufunikeni.


Wakapelekwa na wawili wengine, wahalifu, wauawe pamoja naye.


Mtu asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka; watu huyakusanya na kuyatupa motoni yakateketea.


bali ikitoa miiba na magugu hukataliwa na kuwa karibu na laana; ambayo mwisho wake ni kuteketezwa.


Watu hawa ni miamba yenye hatari katika karamu zenu za upendo walapo karamu pamoja nanyi, wakijilisha pasipo hofu; ni mawingu yasiyo na maji, yachukuliwayo na upepo; ni miti iliyopukutika, isiyo na matunda, iliyokufa mara mbili, na kung'olewa kabisa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo