Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 22:48 - Swahili Revised Union Version

48 Yesu akamwambia, Yuda, wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Lakini Yesu akamwambia, “Yuda! Je, unamsaliti Mwana wa Mtu kwa kumbusu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Lakini Yesu akamwambia, “Yuda! Je, unamsaliti Mwana wa Mtu kwa kumbusu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Lakini Yesu akamwambia, “Yuda! Je, unamsaliti Mwana wa Mtu kwa kumbusu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Lakini Isa akamwambia, “Yuda, je, unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Lakini Isa akamwambia, “Yuda, je, unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

48 Yesu akamwambia, Yuda, wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?

Tazama sura Nakili




Luka 22:48
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kinywa chake ni laini kuliko siagi, Bali moyo wake ni vita. Maneno yake ni mororo kuliko mafuta, Lakini yanakata kama upanga mkali.


Majeraha utiwazo na rafiki ni ya kweli; Bali busu la adui ni udanganyifu.


Basi alipokuwa katika kusema, tazama, mkutano wa watu, na yule aitwaye Yuda, ambaye ni mmoja wa wale Kumi na Wawili, amewatangulia. Akamkaribia Yesu ili kumbusu.


Na wale waliokuwa karibu naye walipoona yatakayotokea, walisema, Bwana, tuwapige kwa upanga?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo