Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:39 - Swahili Revised Union Version

39 Waandishi wengine wakajibu wakamwambia, Mwalimu, umesema vema;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Baadhi ya wale waalimu wa sheria wakasema, “Mwalimu, umejibu vema kabisa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Baadhi ya wale waalimu wa sheria wakasema, “Mwalimu, umejibu vema kabisa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Baadhi ya wale waalimu wa sheria wakasema, “Mwalimu, umejibu vema kabisa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Baadhi ya walimu wa Torati wakasema, “Mwalimu, umesema sawasawa kabisa!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Baadhi ya walimu wa Torati wakasema, “Mwalimu, umesema sawasawa kabisa!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

39 Waandishi wengine wakajibu wakamwambia, Mwalimu, umesema vema;

Tazama sura Nakili




Luka 20:39
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai; kwa maana kwake wote wanaishi.


wala hawakuthubutu kumwuliza neno baada ya hayo.


Pakawa na makelele mengi. Waandishi wengine wa upande wa Mafarisayo wakasimama, wakateta, wakisema, Hatuoni uovu wowote katika mtu huyu; bali ikiwa roho au malaika amesema naye, ni nini?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo