Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:38 - Swahili Revised Union Version

38 Naye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai; kwa maana kwake wote wanaishi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana kwake wote wanaishi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana kwake wote wanaishi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana kwake wote wanaishi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa kuwa kwake wote ni hai.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa kuwa kwake wote ni hai.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Naye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai; kwa maana kwake wote wanaishi.

Tazama sura Nakili




Luka 20:38
18 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali wa walio hai.


Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai. Hivyo mwapotea sana.


Waandishi wengine wakajibu wakamwambia, Mwalimu, umesema vema;


Bado kitambo kidogo na ulimwengu haunioni tena; bali ninyi mnaniona. Na kwa sababu mimi ni hai, ninyi nanyi mtakuwa hai.


Kama vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa hai kwa mimi.


Maana, alisulubiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza wa Mungu ulio kwenu.


Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.


Lakini sasa wanaitamani nchi iliyo bora, yaani, ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni haya kuitwa Mungu wao; maana amewatengenezea mji.


Kisha akanionesha mto wa maji ya uzima, wenye kung'aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha enzi cha Mungu, na cha Mwana-kondoo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo