Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:40 - Swahili Revised Union Version

40 wala hawakuthubutu kumwuliza neno baada ya hayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Baada ya hayo hakuna mtu aliyethubutu kumuuliza maswali tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Baada ya hayo hakuna mtu aliyethubutu kumuuliza maswali tena.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 wala hawakuthubutu kumwuliza neno baada ya hayo.

Tazama sura Nakili




Luka 20:40
5 Marejeleo ya Msalaba  

Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.


Wala hakuweza mtu kumjibu neno; wala hakuthubutu mtu yeyote tangu siku ile kumwuliza neno tena.


Naye Yesu, alipoona kwamba amejibu kwa busara, alimwambia, Wewe hu mbali na ufalme wa Mungu. Wala hakuthubutu mtu kumwuliza swali tena tokea hapo.


Nao hawakuweza kujibu maneno haya.


Waandishi wengine wakajibu wakamwambia, Mwalimu, umesema vema;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo