Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 18:29 - Swahili Revised Union Version

29 Akawaambia, Hakika nawaambia, hakuna mtu aliyeacha nyumba, au mke, au ndugu, au wazazi, au wana, kwa ajili ya ufalme wa Mungu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, mtu yeyote aliyeacha nyumba au mke au ndugu au wazazi au watoto kwa ajili ya ufalme wa Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, mtu yeyote aliyeacha nyumba au mke au ndugu au wazazi au watoto kwa ajili ya ufalme wa Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, mtu yeyote aliyeacha nyumba au mke au ndugu au wazazi au watoto kwa ajili ya ufalme wa Mungu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Isa akajibu, “Amin, nawaambia, hakuna hata mtu aliyeacha nyumba yake, au mke, au ndugu, au wazazi au watoto kwa ajili ya ufalme wa Mungu

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Isa akajibu, “Amin, nawaambia, hakuna hata mtu aliyeacha nyumba yake, au mke, au ndugu, au wazazi au watoto kwa ajili ya Ufalme wa Mwenyezi Mungu

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Akawaambia, Hakika nawaambia, hakuna mtu aliyeacha nyumba, au mke, au ndugu, au wazazi, au wana, kwa ajili ya ufalme wa Mungu,

Tazama sura Nakili




Luka 18:29
7 Marejeleo ya Msalaba  

Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.


Mwingine akasema, Nimeoa mke, na kwa sababu hiyo siwezi kuja.


Aliyemtaja baba yake na mama yake, Mimi sikumwona; Wala nduguze hakuwakubali; Wala hakuwajua watoto wake mwenyewe; Maana wameliangalia neno lako, Wamelishika agano lako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo