Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 18:30 - Swahili Revised Union Version

30 asiyepokea zaidi mara nyingi katika wakati huu, na katika ulimwengu ujao uzima wa milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na uhai wa milele wakati ujao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na uhai wa milele wakati ujao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na uhai wa milele wakati ujao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 asiyepokea zaidi mara nyingi katika wakati huu, na katika ulimwengu ujao uzima wa milele.

Tazama sura Nakili




Luka 18:30
19 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha BWANA akamrejeshea Ayubu mali yake, hapo alipowaombea rafiki zake; BWANA naye akampa Ayubu mara mbili kuliko hayo aliyokuwa nayo kwanza.


Mausia yako ni matamu sana kwangu, Kupita asali kinywani mwangu.


Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele, Maana ndizo changamko la moyo wangu.


Ndiyo maana nimeyapenda maagizo yako, Kuliko dhahabu, naam, dhahabu iliyo safi.


Naifurahia ahadi yako, Kama apataye mateka mengi.


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Kidogo alicho nacho mwenye haki ni bora Kuliko wingi wa mali wa wasio haki wengi.


Naye mtu yeyote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.


Na habari zake zikaenea katika Shamu yote; wakamletea wote waliokuwa wagonjwa, walioshikwa na maradhi mbalimbali na mateso, wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Maana, mazoezi ya viungo vya mwili yana manufaa kidogo, lakini utauwa una manufaa ya kila aina; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye.


Lakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa.


Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji la uzima.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye ashindaye, nitamridhia kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo