Luka 18:30 - Swahili Revised Union Version30 asiyepokea zaidi mara nyingi katika wakati huu, na katika ulimwengu ujao uzima wa milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na uhai wa milele wakati ujao.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na uhai wa milele wakati ujao.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na uhai wa milele wakati ujao.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI30 asiyepokea zaidi mara nyingi katika wakati huu, na katika ulimwengu ujao uzima wa milele. Tazama sura |