Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 18:20 - Swahili Revised Union Version

20 Wazijua amri; Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Unazijua amri: ‘Usizini; Usiue; Usiibe; Usitoe ushahidi wa uongo; Waheshimu baba yako na mama yako.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Unazijua amri: ‘Usizini; Usiue; Usiibe; Usitoe ushahidi wa uongo; Waheshimu baba yako na mama yako.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Unazijua amri: ‘Usizini; Usiue; Usiibe; Usitoe ushahidi wa uongo; Waheshimu baba yako na mama yako.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Unazijua amri: ‘Usizini, usiue, usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Unazijua amri: ‘Usizini, usiue, usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Wazijua amri; Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako.

Tazama sura Nakili




Luka 18:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Yesu akamwambia, Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ndiye Mungu.


Akasema, Hayo yote nimeyashika tangu utoto wangu.


Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yoyote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.


kwa sababu hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria; kwa maana kutambua dhambi huja kwa njia ya sheria.


Waheshimu baba yako na mama yako; hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,


Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo