Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 18:21 - Swahili Revised Union Version

21 Akasema, Hayo yote nimeyashika tangu utoto wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Akajibu, “Amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Akajibu, “Amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Akasema, Hayo yote nimeyashika tangu utoto wangu.

Tazama sura Nakili




Luka 18:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akamjibu baba yake, akasema, Tazama, mimi nimekutumikia miaka mingapi hii, wala sijakosa amri yako wakati wowote, lakini hujanipa mimi mwana-mbuzi, nisherehekee na rafiki zangu;


Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu.


Wazijua amri; Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako.


Yesu aliposikia hayo alimwambia, Umepungukiwa na neno moja bado; viuze ulivyo navyo vyote, ukawagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha, njoo unifuate.


kwa habari ya juhudi, mwenye kuliudhi kanisa, kwa habari ya haki ipatikanayo kwa sheria sikuwa na hatia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo