Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 17:18 - Swahili Revised Union Version

18 Je! Hawakuonekana waliorudi kumpa Mungu utukufu ila mgeni huyu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Hakupatikana mwingine aliyerudi kumtukuza Mungu ila tu huyu mgeni?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Hakupatikana mwingine aliyerudi kumtukuza Mungu ila tu huyu mgeni?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Hakupatikana mwingine aliyerudi kumtukuza Mungu ila tu huyu mgeni?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Je! Hawakuonekana waliorudi kumpa Mungu utukufu ila mgeni huyu?

Tazama sura Nakili




Luka 17:18
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini punde wakayasahau matendo yake, Wakakosa kungojea ushauri wake.


Atoaye dhabihu za kushukuru, Ndiye anayenitukuza. Naye autengenezaye mwenendo wake, Nitamwonesha wokovu wa Mungu.


Na wamtukuze BWANA, Na kutangaza sifa zake visiwani.


Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.


Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.


Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


bali wana wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.


Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale tisa wako wapi?


akasema kwa sauti kuu, Mcheni Mungu, na kumtukuza, kwa maana saa ya hukumu yake imekuja. Msujudieni yeye aliyezifanya mbingu na nchi na bahari na chemchemi za maji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo