Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 17:17 - Swahili Revised Union Version

17 Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale tisa wako wapi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Hapo Yesu akasema, “Je, si watu kumi walitakaswa? Wale tisa wako wapi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Hapo Yesu akasema, “Je, si watu kumi walitakaswa? Wale tisa wako wapi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Hapo Yesu akasema, “Je, si watu kumi walitakaswa? Wale tisa wako wapi?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Isa akauliza, “Je, hawakutakaswa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Isa akauliza, “Je, hawakutakaswa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale tisa wako wapi?

Tazama sura Nakili




Luka 17:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?


Lakini punde wakayasahau matendo yake, Wakakosa kungojea ushauri wake.


akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.


Je! Hawakuonekana waliorudi kumpa Mungu utukufu ila mgeni huyu?


kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo