Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 17:16 - Swahili Revised Union Version

16 akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Akajitupa miguuni mwa Isa akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Akajitupa miguuni mwa Isa akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.

Tazama sura Nakili




Luka 17:16
21 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia,


Hao Kumi na Wawili Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie.


Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu, uvumba na manemane.


Na yule mwanamke akaingiwa na hofu na kutetemeka, akijua lililompata, akaja akamwangukia, akamweleza ukweli wote.


Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale tisa wako wapi?


Simoni Petro alipoona hayo, alianguka magotini mbele ya Yesu, akisema, Ondoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana.


Basi yule mwanamke Msamaria akamwambia, Imekuwaje wewe Myahudi kutaka maji kwangu, nami ni mwanamke Msamaria? (Maana Wayahudi hawatangamani na Wasamaria.)


ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.


Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Je! Sisi hatusemi vema ya kwamba wewe u Msamaria, nawe una pepo?


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na kote katika Yudea, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


siri za moyo wake huwa wazi; na hivyo atamwabudu Mungu, akianguka kifudifudi, na kukiri ya kuwa Mungu yuko kati yenu bila shaka.


Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.


ndipo hao wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi, nao humsujudia yeye aliye hai hata milele na milele, nao hutupa taji zao mbele ya kile kiti cha enzi, wakisema,


Na wale wenye uhai wanne wakasema, Amina. Na wale wazee wakaanguka, wakasujudu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo