Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 17:15 - Swahili Revised Union Version

15 Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa, alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa, alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa, alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Isa, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Isa, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu;

Tazama sura Nakili




Luka 17:15
13 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.


Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Hatujawahi kuona jambo kama hili kamwe.


Baada ya hayo Yesu akamkuta ndani ya hekalu, akamwambia, Angalia, umekuwa mzima; usitende dhambi tena, lisije likakupata jambo lililo baya zaidi.


Akasema, Naamini, Bwana. Akamsujudia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo