Luka 14:32 - Swahili Revised Union Version32 Na kama akiona hawezi, hutuma ujumbe kutaka sharti za amani, mtu yule akiwa bado mbali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Kama anaona hataweza, atawatuma wajumbe kutaka masharti ya amani wakati mfalme huyo mwingine angali mbali. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Kama anaona hataweza, atawatuma wajumbe kutaka masharti ya amani wakati mfalme huyo mwingine angali mbali. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Kama anaona hataweza, atawatuma wajumbe kutaka masharti ya amani wakati mfalme huyo mwingine angali mbali. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Ikiwa hawezi, basi yule mwingine akiwa bado yuko mbali, yeye hutuma wajumbe na kuomba masharti ya amani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Kama hawezi, basi wakati yule mwingine akiwa bado yuko mbali, yeye hutuma ujumbe wa watu na kuomba masharti ya amani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI32 Na kama akiona hawezi, hutuma ujumbe kutaka sharti za amani, mtu yule akiwa bado mbali. Tazama sura |