Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 14:31 - Swahili Revised Union Version

31 Au kuna mfalme gani, akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, haketi kwanza na kufanya shauri, kwamba yeye pamoja na watu elfu kumi ataweza kukutana na yule anayekuja juu yake na watu elfu ishirini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 “Au, ni mfalme gani ambaye akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, hataketi kwanza na kufikiri kama ataweza, kwa askari wake10,000, kumkabili yule aliye na askari 20,000?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 “Au, ni mfalme gani ambaye akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, hataketi kwanza na kufikiri kama ataweza, kwa askari wake10,000, kumkabili yule aliye na askari 20,000?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 “Au, ni mfalme gani ambaye akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, hataketi kwanza na kufikiri kama ataweza, kwa askari wake10,000, kumkabili yule aliye na askari 20,000?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 “Au je, mfalme fulani akienda vita na mfalme mwingine, si yeye huketi chini kwanza na kufikiri: je, akiwa na jeshi la watu elfu kumi, ataweza kupigana na yule anayekuja na jeshi la watu elfu ishirini?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 “Au ni mfalme gani atokaye kwenda kupigana vita na mfalme mwingine, ambaye hakai chini kwanza na kufikiri iwapo akiwa na jeshi la watu 10,000 ataweza kupigana na yule anayekuja na jeshi la watu 20,000?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Au kuna mfalme gani, akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, haketi kwanza na kufanya shauri, kwamba yeye pamoja na watu elfu kumi ataweza kukutana na yule anayekuja juu yake na watu elfu ishirini?

Tazama sura Nakili




Luka 14:31
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme wa Israeli akajibu, akasema, Mwambieni, Avaaye asijisifu kama avuaye.


Mwekee mkono wako; Vikumbuke vile vita, wala usifanye tena.


Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita.


Usitoke nje kwa haraka ili kuyashindania; Usije ukakosa kujua la kutenda hatimaye, Mwenzako atakapokuwa amekuaibisha.


wakisema, Mtu huyu alianza kujenga, akawa hana nguvu za kumaliza.


Na kama akiona hawezi, hutuma ujumbe kutaka sharti za amani, mtu yule akiwa bado mbali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo