Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 14:20 - Swahili Revised Union Version

20 Mwingine akasema, Nimeoa mke, na kwa sababu hiyo siwezi kuja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Na mwingine akasema: ‘Nimeoa kwa hiyo siwezi kuja.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Na mwingine akasema: ‘Nimeoa kwa hiyo siwezi kuja.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Na mwingine akasema: ‘Nimeoa kwa hiyo siwezi kuja.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 “Naye mwingine akasema, ‘Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Naye mwingine akasema, ‘Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Mwingine akasema, Nimeoa mke, na kwa sababu hiyo siwezi kuja.

Tazama sura Nakili




Luka 14:20
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mwingine akasema, Nimenunua ng'ombe jozi tano, ninakwenda kuwajaribu; tafadhali unisamehe.


Yule mtumwa akaenda, akamwambia Bwana wake kuhusu mambo hayo. Basi, yule mwenye nyumba akakasirika, akamwambia mtumwa wake, Toka upesi, uende katika njia kuu na vichochoro vya mji, ukawalete hapa maskini, na vilema, na vipofu, na viwete.


bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.


Mtu atwaapo mke mpya, asiende vitani pamoja na jeshi, wala asipewe shughuli juu yake yoyote; akae faragha mwaka mmoja nyumbani mwake, apate mfurahisha mkewe aliyemtwaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo