Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 14:19 - Swahili Revised Union Version

19 Mwingine akasema, Nimenunua ng'ombe jozi tano, ninakwenda kuwajaribu; tafadhali unisamehe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mwingine akasema: ‘Nimenunua ng'ombe jozi tano wa kulima, sasa nimo njiani kwenda kuwajaribu; nakuomba uniwie radhi.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mwingine akasema: ‘Nimenunua ng'ombe jozi tano wa kulima, sasa nimo njiani kwenda kuwajaribu; nakuomba uniwie radhi.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mwingine akasema: ‘Nimenunua ng'ombe jozi tano wa kulima, sasa nimo njiani kwenda kuwajaribu; nakuomba uniwie radhi.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 “Mwingine akasema, ‘Ndipo tu nimenunua jozi tano za ng’ombe wa kulimia, nami ninaenda kuwajaribu, tafadhali niwie radhi.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 “Mwingine akasema, ‘Ndipo tu nimenunua jozi tano za ng’ombe wa kulimia, nami ninakwenda kuwajaribu, tafadhali niwie radhi.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Mwingine akasema, Nimenunua ng'ombe jozi tano, ninakwenda kuwajaribu; tafadhali unisamehe.

Tazama sura Nakili




Luka 14:19
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaanza wote kutoa udhuru kwa nia moja. Wa kwanza alimwambia, Nimenunua shamba, sharti niende nikalitazame; tafadhali unisamehe.


Mwingine akasema, Nimeoa mke, na kwa sababu hiyo siwezi kuja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo