Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 12:35 - Swahili Revised Union Version

35 Viuno vyenu na viwe vimefungwa, na taa zenu ziwe zinawaka;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 “Muwe tayari mmejifunga mkanda kiunoni, na taa zenu ziwe zinawaka;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 “Muwe tayari mmejifunga mkanda kiunoni, na taa zenu ziwe zinawaka;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 “Muwe tayari mmejifunga mkanda kiunoni, na taa zenu ziwe zinawaka;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 “Kuweni tayari mkiwa mmevikwa kwa ajili ya huduma na taa zenu zikiwa zinawaka,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 “Kuweni tayari mkiwa mmevikwa kwa ajili ya huduma na taa zenu zikiwa zinawaka,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Viuno vyenu na viwe vimefungwa, na taa zenu ziwe zinawaka;

Tazama sura Nakili




Luka 12:35
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mkono wa BWANA ulikuwa juu ya Eliya; akajikaza viuno, akapiga mbio akatangulia Ahabu mpaka kuiingia Yezreeli.


Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu.


Na haki itakuwa mshipi wa viuno vyake, na uaminifu mshipi wa kujifungia.


Miongoni mwao hakuna achokaye wala kukwaa; Hakuna asinziaye wala kulala usingizi; Wala mshipi wa viuno vyao hautalegea. Wala ukanda wa viatu vyao hautakatika;


Ndipo ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi.


Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.


nanyi iweni kama watu wanaomngojea bwana wao, atakaporudi kutoka arusini, ili atakapokuja na kubisha, wamfungulie mara.


Basi simameni, mkiwa mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani,


mpate kuwa wana wa Mungu wasio na lawama, wala udanganyifu, wasio na ila kati ya kizazi chenye ukaidi, kilichopotoka; ambao kati ya hao mnaonekana kuwa kama mianga katika ulimwengu,


Kwa hiyo iweni tayari, na makini; mkiitumainia kwa utimilifu ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo