Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 12:36 - Swahili Revised Union Version

36 nanyi iweni kama watu wanaomngojea bwana wao, atakaporudi kutoka arusini, ili atakapokuja na kubisha, wamfungulie mara.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka harusini, ili wamfungulie mara atakapobisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka harusini, ili wamfungulie mara atakapobisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka harusini, ili wamfungulie mara atakapobisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka karamu ya arusi, ili ajapo na kubisha mlango waweze kumfungulia mara moja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka kwenye karamu ya arusi, ili ajapo na kubisha mlango waweze kumfungulia mara.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 nanyi iweni kama watu wanaomngojea bwana wao, atakaporudi kutoka harusini, ili atakapokuja na kubisha, wamfungulie mara.

Tazama sura Nakili




Luka 12:36
16 Marejeleo ya Msalaba  

Wokovu wako nimeungoja, Ee BWANA.


Maana tangu zamani za kale watu hawakusikia, wala kufahamu kwa masikio, wala jicho halikuona Mungu, ila wewe, atendaye mambo kwa ajili yake amngojaye.


Viuno vyenu na viwe vimefungwa, na taa zenu ziwe zinawaka;


Heri watumwa wale, ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesha. Amin, nawaambieni, atajifunga na kuwakaribisha chakulani, atakuja na kuwahudumia.


Na tufurahi, tukashangilie, tukampe utukufu wake; kwa kuwa arusi ya Mwana-kondoo imekuja, na mkewe amejiweka tayari.


Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo