Isaya 47:1 - Swahili Revised Union Version1 Haya, shuka, keti mavumbini, Ewe bikira, binti Babeli; Keti chini pasipo kiti cha enzi, Ewe binti wa Wakaldayo; Maana hutaitwa tena mwororo, mpenda anasa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 “Teremka uketi mavumbini ewe Babuloni binti mzuri! Keti chini pasipo kiti cha enzi ewe binti wa Wakaldayo! Tokea sasa hutaitwa tena mwororo wala nadhifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 “Teremka uketi mavumbini ewe Babuloni binti mzuri! Keti chini pasipo kiti cha enzi ewe binti wa Wakaldayo! Tokea sasa hutaitwa tena mwororo wala nadhifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 “Teremka uketi mavumbini ewe Babuloni binti mzuri! Keti chini pasipo kiti cha enzi ewe binti wa Wakaldayo! Tokea sasa hutaitwa tena mwororo wala nadhifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 “Shuka uketi mavumbini, ee Bikira Binti Babeli; keti chini pasipo na kiti cha utawala, ee Binti wa Wakaldayo. Hutaitwa tena mwororo wala wa kupendeza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 “Shuka uketi mavumbini, ee Bikira Binti Babeli; keti chini pasipo na kiti cha enzi, ee binti wa Wakaldayo. Hutaitwa tena mwororo wala wa kupendeza. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Haya, shuka, keti mavumbini, Ewe bikira, binti Babeli; Keti chini pasipo kiti cha enzi, Ewe binti wa Wakaldayo; Maana hutaitwa tena mwororo, mpenda anasa. Tazama sura |