Isaya 44:5 - Swahili Revised Union Version5 Mmoja atasema, Mimi ni wa BWANA; na mwingine atajiita kwa jina la Yakobo; na mwingine ataandika juu ya mkono wake, Kwa BWANA, na kujiita kwa jina la Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 “Mmoja atasema: ‘Mimi ni wa Mwenyezi-Mungu’, mwingine atajiita kwa jina la Yakobo, mwingine ataandika mkononi mwake, ‘Wa Mwenyezi-Mungu’, na kujitambulisha kwa jina la Israeli.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 “Mmoja atasema: ‘Mimi ni wa Mwenyezi-Mungu’, mwingine atajiita kwa jina la Yakobo, mwingine ataandika mkononi mwake, ‘Wa Mwenyezi-Mungu’, na kujitambulisha kwa jina la Israeli.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 “Mmoja atasema: ‘Mimi ni wa Mwenyezi-Mungu’, mwingine atajiita kwa jina la Yakobo, mwingine ataandika mkononi mwake, ‘Wa Mwenyezi-Mungu’, na kujitambulisha kwa jina la Israeli.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mmoja atasema, ‘Mimi ni wa Mwenyezi Mungu’; mwingine atajiita kwa jina la Yakobo; vilevile mwingine ataandika juu ya mkono wake, ‘Wa Mwenyezi Mungu,’ na kujiita kwa jina la Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Mmoja atasema, ‘Mimi ni wa bwana’; mwingine atajiita kwa jina la Yakobo; vilevile mwingine ataandika juu ya mkono wake, ‘Wa bwana,’ na kujiita kwa jina la Israeli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Mmoja atasema, Mimi ni wa BWANA; na mwingine atajiita kwa jina la Yakobo; na mwingine ataandika juu ya mkono wake, Kwa BWANA, na kujiita kwa jina la Israeli. Tazama sura |