Isaya 13:18 - Swahili Revised Union Version18 Na nyuta zao zitawaangusha vijana; wala hawatahurumia mazao ya tumbo; jicho lao halitawahurumia watoto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mishale yao itawaua vijana, hawatakuwa na huruma kwa watoto, wala kuwahurumia watoto wachanga. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mishale yao itawaua vijana, hawatakuwa na huruma kwa watoto, wala kuwahurumia watoto wachanga. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mishale yao itawaua vijana, hawatakuwa na huruma kwa watoto, wala kuwahurumia watoto wachanga. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Mishale yao itawaangusha vijana, hawatakuwa na huruma kwa watoto wachanga wala hawataangalia watoto kwa huruma. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Mishale yao itawaangusha vijana, hawatakuwa na huruma kwa watoto wachanga wala hawataangalia watoto kwa huruma. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Na nyuta zao zitawaangusha vijana; wala hawatahurumia mazao ya tumbo; jicho lao halitawahurumia watoto. Tazama sura |