Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hosea 13:7 - Swahili Revised Union Version

7 Basi nimekuwa kama simba kwao; kama chui nitavizia njiani;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Basi, nitakuwa kama simba kwenu nyote; nitawavizieni kama chui njiani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Basi, nitakuwa kama simba kwenu nyote; nitawavizieni kama chui njiani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Basi, nitakuwa kama simba kwenu nyote; nitawavizieni kama chui njiani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kwa hiyo nitakuja juu yao kama simba, kama chui nitawavizia kando ya njia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kwa hiyo nitakuja juu yao kama simba, kama chui nitawavizia kando ya njia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Basi nimekuwa kama simba kwao; kama chui nitavizia njiani;

Tazama sura Nakili




Hosea 13:7
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kichwa changu kikijiinua, waniwinda kama simba; Tena wajionesha kwangu kuwa wa ajabu.


BWANA atatokea kama shujaa; Ataamsha wivu kama mtu wa vita; Atalia, naam, atapiga kelele; Atawatenda adui zake mambo makuu.


Ameacha mahali pake pa kujificha, kama simba; maana nchi yao imekuwa kitu cha kushangaza, kwa sababu ya ukali wa upanga uoneao, na kwa sababu ya hasira yake kali.


Basi, kwa hiyo, simba atokaye mwituni atawaua, mbwamwitu wa jioni atawateka, chui ataivizia miji yao, kila mtu atokaye humo atararuliwa vipande vipande; kwa sababu makosa yao ni mengi, na kurudi nyuma kwao kumezidi.


Alivyo kwangu ni kama dubu aoteaye, Kama simba aliye mafichoni.


Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama mwanasimba kwa nyumba ya Yuda; mimi, naam, mimi nitararua, kisha nitakwenda zangu; nitachukua mbali, wala hapatakuwa na mtu wa kuokoa.


Naye alisema, BWANA atanguruma toka Sayuni, Atatoa sauti yake toka Yerusalemu; Na malisho ya wachungaji yatakauka, Na kilele cha Karmeli kitanyauka.


Je! Simba atanguruma mwituni, asipokuwa na mawindo? Mwanasimba atalia pangoni mwake, ikiwa hakupata kitu?


Simba amekwisha kunguruma, ni nani asiyeogopa? Bwana MUNGU amenena, ni nani awezaye neno ila kutabiri?


Na yule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba, lile joka likampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo