Hesabu 5:9 - Swahili Revised Union Version9 Tena kila sadaka ya kuinuliwa, ya vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, watakavyovileta kwa kuhani, vitakuwa ni vyake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Michango yote na matoleo yote ambayo Waisraeli wataweka wakfu kwa Mungu na kumletea kuhani itakuwa yake huyo kuhani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Michango yote na matoleo yote ambayo Waisraeli wataweka wakfu kwa Mungu na kumletea kuhani itakuwa yake huyo kuhani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Michango yote na matoleo yote ambayo Waisraeli wataweka wakfu kwa Mungu na kumletea kuhani itakuwa yake huyo kuhani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Matoleo yote matakatifu ya Waisraeli wanayoleta kwa kuhani yatakuwa yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Matoleo yote matakatifu ya Waisraeli wanayoleta kwa kuhani yatakuwa yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Tena kila sadaka ya kuinuliwa, ya vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, watakavyovileta kwa kuhani, vitakuwa ni vyake. Tazama sura |