Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 5:20 - Swahili Revised Union Version

20 lakini ikiwa umekengeuka ukiwa chini ya mumeo, na kwamba u hali ya unajisi, na mwanamume amelala nawe, asiyekuwa mumeo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Lakini kama umepotoka hali uko chini ya mamlaka ya mumeo, ukajitia najisi kwa kulala na mwanamume mwingine asiye mume wako,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Lakini kama umepotoka hali uko chini ya mamlaka ya mumeo, ukajitia najisi kwa kulala na mwanamume mwingine asiye mume wako,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Lakini kama umepotoka hali uko chini ya mamlaka ya mumeo, ukajitia najisi kwa kulala na mwanamume mwingine asiye mume wako,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Lakini ikiwa umepotoka wakati ukiwa umeolewa na mume wako na umejinajisi mwenyewe kwa kukutana kimwili na mwanaume mwingine asiyekuwa mumeo”;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Lakini ikiwa umepotoka wakati ukiwa umeolewa na mume wako na umejinajisi mwenyewe kwa kukutana kimwili na mwanaume mwingine asiyekuwa mumeo”;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 lakini ikiwa umekengeuka ukiwa chini ya mumeo, na kwamba u hali ya unajisi, na mwanamume amelala nawe, asiyekuwa mumeo;

Tazama sura Nakili




Hesabu 5:20
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtu yeyote akitokwa na shahawa yake, ndipo ataoga mwili wake wote majini, naye atakuwa najisi hadi jioni.


Nena na wana wa Israeli, uwaambie, kama mke wa mtu yeyote akikengeuka, na kumkosa mumewe,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo