Hesabu 32:41 - Swahili Revised Union Version41 Kisha Yairi mwana wa Manase akaenda na kuvitwaa vijiji vya Gileadi. Akaviita jina lake Hawoth-yairi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema41 Yairi, wa kabila la Manase, alishambulia vijiji kadhaa vya Gileadi na kuviteka, akavipa jina Hawoth-yairi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND41 Yairi, wa kabila la Manase, alishambulia vijiji kadhaa vya Gileadi na kuviteka, akavipa jina Hawoth-yairi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza41 Yairi, wa kabila la Manase, alishambulia vijiji kadhaa vya Gileadi na kuviteka, akavipa jina Hawoth-yairi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu41 Yairi, mzao wa Manase, akateka makazi yao, akayaita Hawoth-Yairi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu41 Yairi, mzao wa Manase, akateka makao yao, akayaita Hawoth-Yairi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI41 Kisha Yairi mwana wa Manase akaenda na kuvitwaa vijiji vya Gileadi. Akaviita jina lake Hawoth-yairi. Tazama sura |