Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 32:42 - Swahili Revised Union Version

42 Kisha Noba akaenda na kutwaa Kenathi na vijiji vyake, na kuita jina lake Noba, kwa kuandama jina lake mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Naye Noba aliishambulia na kuiteka Kenathi na vijiji vyake, akauita Noba, jina lake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Naye Noba aliishambulia na kuiteka Kenathi na vijiji vyake, akauita Noba, jina lake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Naye Noba aliishambulia na kuiteka Kenathi na vijiji vyake, akauita Noba, jina lake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 Naye Noba akateka Kenathi na makazi yaliyoizunguka, akayaita Noba kwa jina lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Naye Noba akateka Kenathi na makao yaliyoizunguka, akayaita Noba kwa jina lake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

42 Kisha Noba akaenda na kutwaa Kenathi na vijiji vyake, na kuita jina lake Noba, kwa kuandama jina lake mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Hesabu 32:42
3 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo Absalomu alipokuwa yu hai alikuwa ameitwaa na kujiinulia ile nguzo iliyoko bondeni mwa mfalme; kwa maana alisema, Mimi sina mtoto wa kuliendeleza jina langu; akaiita hiyo nguzo kwa jina lake mwenyewe nayo inaitwa mnara wa Absalomu hata hivi leo.


Makaburi ni nyumba zao hata milele, Maskani zao vizazi hata vizazi. Japo waliwahi kuyamiliki mashamba, Kwa majina yao wenyewe.


Basi Gideoni alikwea kwa njia iliyotumiwa na misafara, ambayo ilikuwa mashariki mwa Noba na Yogbeha, akalishambulia hilo jeshi; kwa maana lile jeshi halikuwa na hadhari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo