Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 32:40 - Swahili Revised Union Version

40 Basi Musa akampa Makiri, mwana wa Manase, Gileadi, naye akakaa humo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Kwa hiyo, Mose akawapa watu wa ukoo wa Makiri mwana wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa humo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Kwa hiyo, Mose akawapa watu wa ukoo wa Makiri mwana wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa humo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Kwa hiyo, Mose akawapa watu wa ukoo wa Makiri mwana wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa humo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Kwa hiyo Musa akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Kwa hiyo Musa akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 Basi Musa akampa Makiri, mwana wa Manase, Gileadi, naye akakaa humo.

Tazama sura Nakili




Hesabu 32:40
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na Segubu akamzaa Yairi, aliyekuwa mwenye miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.


Na nchi hiyo tuliitwaa ikawa milki yetu, wakati huo; kutoka Aroeri iliyo kwenye bonde la Arnoni, na nusu ya nchi ya milima ya Gileadi, na miji iliyokuwamo, niliwapa Wareubeni na Wagadi;


Hii ndiyo sehemu waliyopewa kabila la Manase; maana, yeye alikuwa ni mzaliwa wa kwanza, wa Yusufu. Na Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase, babaye Gileadi, kwa sababu alikuwa mtu wa vita, basi alikuwa na Gileadi na Bashani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo