Hesabu 30:1 - Swahili Revised Union Version1 Kisha Musa akanena na wale vichwa vya makabila ya wana wa Israeli, na kuwaambia, Neno hili ndilo aliloliagiza BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Kisha Mose alizungumza na viongozi wa makabila ya Israeli, akawaambia, “Hili ndilo neno lililoamriwa na Mwenyezi-Mungu: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Kisha Mose alizungumza na viongozi wa makabila ya Israeli, akawaambia, “Hili ndilo neno lililoamriwa na Mwenyezi-Mungu: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Basi, Mose akawaambia Waisraeli kila kitu kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Musa akawaambia viongozi wa makabila ya Israeli: “Hili ndilo Mwenyezi Mungu analoagiza: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Musa akawaambia viongozi wa makabila ya Israeli: “Hili ndilo bwana analoagiza: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Kisha Musa akanena na wale vichwa vya makabila ya wana wa Israeli, na kuwaambia, Neno hili ndilo aliloliagiza BWANA. Tazama sura |