Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 26:23 - Swahili Revised Union Version

23 Na wana wa Isakari kwa jamaa zao; wa Tola, jamaa ya Watola; wa Puva, jamaa ya Wapuva;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Kabila la Isakari lilikuwa na jamaa za Tola, Puva,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Kabila la Isakari lilikuwa na jamaa za Tola, Puva,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Kabila la Isakari lilikuwa na jamaa za Tola, Puva,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola; kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola; kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Na wana wa Isakari kwa jamaa zao; wa Tola, jamaa ya Watola; wa Puva, jamaa ya Wapuva;

Tazama sura Nakili




Hesabu 26:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Isakari; Tola, na Puva, na Yashubu, na Shimroni.


Na wana wa Isakari; Tola, na Puva, na Yashubu, na Shimroni, wanne.


Katika wana wa Isakari, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kwa hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Isakari; na mkuu wa wana wa Isakari atakuwa Nethaneli mwana wa Suari;


wa Yashubu, jamaa ya Wayashubu; wa Shimroni, jamaa ya Washimroni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo