Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 26:19 - Swahili Revised Union Version

19 Na wana wa Yuda, Eri na Onani; na hao Eri na Onani wakafa katika nchi ya Kanaani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Kabila la Yuda lilikuwa na wanawe wa Yuda Eri na Onani. Hawa walifia nchini Kanaani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Kabila la Yuda lilikuwa na wanawe wa Yuda Eri na Onani. Hawa walifia nchini Kanaani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Kabila la Yuda lilikuwa na wanawe wa Yuda Eri na Onani. Hawa walifia nchini Kanaani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Na wana wa Yuda, Eri na Onani; na hao Eri na Onani wakafa katika nchi ya Kanaani.

Tazama sura Nakili




Hesabu 26:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela, na Peresi, na Zera; lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani. Na wana wa Peresi, ni Hesroni, na Hamuli.


Wana wa Yuda; Peresi, na Hesroni, na Karmi, na Huri, na Shobali.


Katika wana wa Yuda, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo