Hesabu 23:9 - Swahili Revised Union Version9 Kutoka kilele cha majabali namwona; Na kutoka milimani namtazama; Angalia, ni watu wakaao peke yao, Wala hawatahesabiwa pamoja na mataifa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Kutoka vilele vya majabali nawaona; kutoka juu ya milima nawachungulia. Hilo taifa likaalo peke yake, lisilojiona kuwa sawa na mataifa mengine. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Kutoka vilele vya majabali nawaona; kutoka juu ya milima nawachungulia. Hilo taifa likaalo peke yake, lisilojiona kuwa sawa na mataifa mengine. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Kutoka vilele vya majabali nawaona; kutoka juu ya milima nawachungulia. Hilo taifa likaalo peke yake, lisilojiona kuwa sawa na mataifa mengine. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kutoka vilele vya miamba ninawaona, kutoka mahali palipoinuka ninawatazama. Ninaliona taifa ambalo wanaishi peke yao, nao hawahesabiwi kama mojawapo ya mataifa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kutoka vilele vya miamba ninawaona, kutoka mahali palipoinuka ninawatazama. Ninaliona taifa ambalo wanaishi peke yao, nao hawahesabiwi kama mojawapo ya mataifa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Kutoka kilele cha majabali namwona; Na kutoka milimani namtazama; Angalia, ni watu wakaao peke yao, Wala hawatahesabiwa pamoja na mataifa. Tazama sura |
Basi Hamani akamwambia mfalme Ahasuero, Kuna watu wa taifa moja waliotawanyika na kukaa kila mahali katikati ya watu wa mataifa walioko katika mikoa yote ya ufalme wako. Nao sheria zao zimetofautiana na sheria za kila taifa; wala hawazishiki amri za mfalme; kwa hiyo haimpasi mfalme kuchukuliana nao.