Hesabu 23:8 - Swahili Revised Union Version8 Nimlaanije, yeye ambaye Mungu hakumlaani? Nimshutumuje, yeye ambaye BWANA hakumshutumu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Nitamlaanije mtu ambaye Mungu hakumlaani? Nitawalaumuje watu ambao Mwenyezi-Mungu hakuwalaumu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Nitamlaanije mtu ambaye Mungu hakumlaani? Nitawalaumuje watu ambao Mwenyezi-Mungu hakuwalaumu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Nitamlaanije mtu ambaye Mungu hakumlaani? Nitawalaumuje watu ambao Mwenyezi-Mungu hakuwalaumu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Nitawezaje kuwalaani, hao ambao Mungu hajawalaani? Nitawezaje kuwashutumu hao ambao Mwenyezi Mungu hakuwashutumu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Nitawezaje kuwalaani, hao ambao Mungu hajawalaani? Nitawezaje kuwashutumu hao ambao bwana hakuwashutumu? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Nimlaanije, yeye ambaye Mungu hakumlaani? Nimshutumuje, yeye ambaye BWANA hakumshutumu? Tazama sura |