Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 2:27 - Swahili Revised Union Version

27 Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Asheri; na mkuu wa wana wa Asheri atakuwa Pagieli mwana wa Okrani;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Kisha wale watakaopiga kambi baada yao watakuwa watu wa kabila la Asheri, kiongozi wao akiwa Pagieli mwana wa Okrani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Kisha wale watakaopiga kambi baada yao watakuwa watu wa kabila la Asheri, kiongozi wao akiwa Pagieli mwana wa Okrani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Kisha wale watakaopiga kambi baada yao watakuwa watu wa kabila la Asheri, kiongozi wao akiwa Pagieli mwana wa Okrani,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Kabila la Asheri watapiga kambi karibu na Dani. Kiongozi wa watu wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okrani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Kabila la Asheri watapiga kambi karibu na Dani. Kiongozi wa watu wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okrani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Asheri; na mkuu wa wana wa Asheri atakuwa Pagieli mwana wa Okrani;

Tazama sura Nakili




Hesabu 2:27
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Asheri; Pagieli mwana wa Okirani.


Na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu sitini na mbili na mia saba.


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu arubaini na moja na mia tano;


Na siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, mkuu wa wana wa Asheri;


tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Pagieli mwana wa Okrani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo