Hesabu 18:12 - Swahili Revised Union Version12 Yaliyo mazuri katika mafuta, na yaliyo mazuri ya mavuno ya zabibu, na ya mavuno ya nafaka, malimbuko yake watakayompa BWANA, hayo nimekupa wewe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 “Ninakupa vitu vyote vizuri vinavyotokana na malimbuko ambayo Waisraeli hunitolea: Mafuta safi, divai na nafaka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 “Ninakupa vitu vyote vizuri vinavyotokana na malimbuko ambayo Waisraeli hunitolea: Mafuta safi, divai na nafaka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 “Ninakupa vitu vyote vizuri vinavyotokana na malimbuko ambayo Waisraeli hunitolea: mafuta safi, divai na nafaka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 “Ninawapa mafuta ya zeituni yaliyo bora kuliko yote, na divai mpya iliyo bora kuliko zote na nafaka wanazompa Mwenyezi Mungu kama malimbuko katika mavuno yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 “Ninawapa mafuta ya zeituni yaliyo bora kuliko yote, na divai mpya iliyo bora kuliko zote na nafaka wanazompa bwana kama malimbuko katika mavuno yao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Yaliyo mazuri katika mafuta, na yaliyo mazuri ya mavuno ya zabibu, na ya mavuno ya nafaka, malimbuko yake watakayompa BWANA, hayo nimekupa wewe. Tazama sura |