Hesabu 17:13 - Swahili Revised Union Version13 Kila mtu akaribiaye, aikaribiaye maskani ya BWANA, hufa; je! Tutakufa sote pia? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Kila mtu atakayekaribia, hema la Mwenyezi-Mungu atakufa. Je, tutaangamia sote?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Kila mtu atakayekaribia, hema la Mwenyezi-Mungu atakufa. Je, tutaangamia sote?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Kila mtu atakayekaribia, hema la Mwenyezi-Mungu atakufa. Je, tutaangamia sote?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Yeyote akaribiaye Maskani ya Mwenyezi Mungu atakufa. Je, sisi sote tutakufa?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Yeyote akaribiaye Maskani ya bwana atakufa. Je, sisi sote tutakufa?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Kila mtu akaribiaye, aikaribiaye maskani ya BWANA, hufa; je! Tutakufa sote pia? Tazama sura |