Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 12:3 - Swahili Revised Union Version

3 Basi huyo mtu, huyo Musa, alikuwa mpole sana zaidi ya wanadamu wote waliokuwa juu ya uso wa nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 (Mose alikuwa mtu mnyenyekevu kuliko watu wengine wote waliokuwa duniani.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 (Mose alikuwa mtu mnyenyekevu kuliko watu wengine wote waliokuwa duniani.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 (Mose alikuwa mtu mnyenyekevu kuliko watu wengine wote waliokuwa duniani.)

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 (Basi Musa alikuwa mtu mnyenyekevu sana, mnyenyekevu kuliko mtu mwingine yeyote katika uso wa dunia.)

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 (Basi Musa alikuwa mtu mnyenyekevu sana, mnyenyekevu kuliko mtu mwingine yeyote katika uso wa dunia.)

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Basi huyo mtu, huyo Musa, alikuwa mpole sana zaidi ya wanadamu wote waliokuwa juu ya uso wa nchi.

Tazama sura Nakili




Hesabu 12:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA huwategemeza wenye upole, Huwaangusha chini wenye jeuri.


Kwa kuwa BWANA awaridhia watu wake, Huwapamba wenye upole kwa wokovu.


BWANA akanena ghafla na Musa, na Haruni na Miriamu, na kuwaambia, Tokeni nje ninyi watatu, mwende hemani mwa kukutania. Basi hao watatu wakatoka nje.


Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;


Mwambieni binti Sayuni Tazama, mfalme wako anakuja kwako, Mpole, naye amepanda punda, Na mwanapunda, mtoto wa punda.


Heri wenye upole; Maana hao watairithi nchi.


Basi, mimi Paulo mwenyewe nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo; mimi niliye mnyenyekevu nikiwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo ni mwenye ujasiri kwenu;


Maana nadhani ya kuwa mimi sikupungukiwa na kitu walicho nacho mitume walio wakuu.


Nimekuwa mpumbavu, ninyi mmenilazimisha. Maana ilinipasa nisifiwe na ninyi; kwa sababu sikuwa duni ya mitume walio wakuu kwa lolote, nijapokuwa si kitu.


bali tulikuwa wapole katikati yenu, kama vile mlezi awatunzavyo watoto wake mwenyewe.


Ni nani aliye na hekima na ufahamu kwenu? Na aoneshe kazi zake kwa mwenendo wake mzuri, katika upole wa hekima.


bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo