Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 12:12 - Swahili Revised Union Version

12 Nakusihi, asiwe kama mmoja aliyekufa, ambaye nyama ya mwili wake nusu imelika hapo atokapo tumbo la mama yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Usimfanye Miriamu awe kama mtu aliyezaliwa mfu, ambaye karibu nusu ya mwili wake umelika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Usimfanye Miriamu awe kama mtu aliyezaliwa mfu, ambaye karibu nusu ya mwili wake umelika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Usimfanye Miriamu awe kama mtu aliyezaliwa mfu, ambaye karibu nusu ya mwili wake umelika.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Usimwache awe kama mtoto mchanga aliyezaliwa akiwa mfu, ambaye nusu ya mwili wake imeharibika hapo atokapo katika tumbo la mama yake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Usimwache awe kama mtoto mchanga aliyezaliwa akiwa mfu, ambaye nusu ya mwili wake imeharibika hapo atokapo katika tumbo la mama yake.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Nakusihi, asiwe kama mmoja aliyekufa, ambaye nyama ya mwili wake nusu imelika hapo atokapo tumbo la mama yake.

Tazama sura Nakili




Hesabu 12:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Au, mbona kuzikwa kama mimba iliyoharibika, nisingekuwako; Kama wachanga wasiouona mwanga kabisa.


Kama konokono ayeyukaye na kutoweka, Kama mimba iliyoharibika, isiyoliona jua,


Kisha Haruni akamwambia Musa, Ee bwana wangu nakusihi sana usituwekee dhambi juu yetu, kwa kuwa tumefanya ya upumbavu, na kufanya dhambi.


Musa akamlilia BWANA, akasema, Mponye, Ee Mungu, nakusihi sana.


na mwisho wa watu wote, alinitokea mimi, kama ni mtu aliyezaliwa si kwa wakati wake.


Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutotahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja naye, akiisha kutusamehe makosa yote;


Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo