Danieli 2:17 - Swahili Revised Union Version17 Ndipo Danieli akaenda nyumbani kwake, akawapasha habari kina Hanania, na Mishaeli, na Azaria wenzake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kisha, Danieli akarudi nyumbani, akawajulisha wenzake Hanania, Mishaeli na Azaria jambo hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kisha, Danieli akarudi nyumbani, akawajulisha wenzake Hanania, Mishaeli na Azaria jambo hilo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kisha, Danieli akarudi nyumbani, akawajulisha wenzake Hanania, Mishaeli na Azaria jambo hilo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Ndipo Danieli akarudi nyumbani mwake na kuwaeleza rafiki zake Hanania, Mishaeli na Azaria jambo hilo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Ndipo Danieli akarudi nyumbani kwake na kuwaeleza rafiki zake Hanania, Mishaeli na Azaria jambo hilo. Tazama suraSwahili Roehl Bible 193717 Kisha Danieli akaingia nyumbani mwake, akawajulisha wenziwe Hanania na Misaeli na Azaria hilo jambo, Tazama sura |