Danieli 2:16 - Swahili Revised Union Version16 Basi Danieli akaingia, akamwomba mfalme ampe muda, kisha yeye atamwonesha mfalme tafsiri ile. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Ndipo Danieli alipomwendea mfalme na kumwomba ampe muda ili aweze kumjulisha mfalme maana ya ndoto yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Ndipo Danieli alipomwendea mfalme na kumwomba ampe muda ili aweze kumjulisha mfalme maana ya ndoto yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Ndipo Danieli alipomwendea mfalme na kumwomba ampe muda ili aweze kumjulisha mfalme maana ya ndoto yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Basi Danieli akawaendea mfalme, akamwomba ampe muda ili aweze kumfasiria ile ndoto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Aliposikia jambo hili, Danieli akamwendea mfalme, akamwomba ampe muda ili aweze kumfasiria ile ndoto. Tazama suraSwahili Roehl Bible 193716 Danieli akaingia kwa mfalme, akamwomba, ampe siku kidogo, apate kumweleza mfalme maana ya ndoto. Tazama sura |