Danieli 2:18 - Swahili Revised Union Version18 ili waombe rehema kwa Mungu wa mbinguni kuhusu siri hiyo, ili kwamba Danieli na wenzake wasiangamizwe pamoja na wenye hekima wa Babeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Aliwaambia wamwombe Mungu wa mbinguni awaonee huruma kuhusu fumbo hilo, ili wao wasiangamie pamoja na wenye hekima wengine wa Babuloni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Aliwaambia wamwombe Mungu wa mbinguni awaonee huruma kuhusu fumbo hilo, ili wao wasiangamie pamoja na wenye hekima wengine wa Babuloni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Aliwaambia wamwombe Mungu wa mbinguni awaonee huruma kuhusu fumbo hilo, ili wao wasiangamie pamoja na wenye hekima wengine wa Babuloni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Aliwasihi waombe rehema kutoka kwa Mungu wa mbinguni kuhusu siri hii, ili yeye na rafiki zake wasije wakauawa pamoja na wenye hekima wengine wa Babeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Aliwasihi waombe rehema kutoka kwa Mungu wa mbinguni kuhusu siri hii, ili yeye na rafiki zake wasije wakauawa pamoja na wenye hekima wengine wa Babeli. Tazama suraSwahili Roehl Bible 193718 wamwombe Mungu wa mbinguni, awahurumie kwa ajili ya hilo jambo lililofichika, Danieli na wenziwe wasiuawe pamoja na wajuzi wa Babeli. Tazama sura |