Amosi 2:12 - Swahili Revised Union Version12 Lakini mliwapa Wanadhiri mvinyo wanywe; mkawaamuru manabii, mkisema, Msifanye unabii. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Lakini nyinyi mliwafanya wanadhiri wanywe divai, na kuwaamuru manabii wasitoe unabii. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Lakini nyinyi mliwafanya wanadhiri wanywe divai, na kuwaamuru manabii wasitoe unabii. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Lakini nyinyi mliwafanya wanadhiri wanywe divai, na kuwaamuru manabii wasitoe unabii. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 “Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyo na kuwaamuru manabii wasitoe unabii. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 “Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyo na kuwaamuru manabii wasitoe unabii. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Lakini mliwapa Wanadhiri mvinyo wanywe; mkawaamuru manabii, mkisema, Msifanye unabii. Tazama sura |