Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Amosi 1:12 - Swahili Revised Union Version

12 lakini nitatuma moto juu ya Temani, nao utayateketeza majumba ya Bosra.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Basi, nitaushushia moto mji wa Temani, na kuziteketeza kabisa ngome za Bosra.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Basi, nitaushushia moto mji wa Temani, na kuziteketeza kabisa ngome za Bosra.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Basi, nitaushushia moto mji wa Temani, na kuziteketeza kabisa ngome za Bosra.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Nitatuma moto juu ya Temani ambao utateketeza ngome za Bosra.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Nitatuma moto juu ya Temani ambao utateketeza ngome za Bosra.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 lakini nitatuma moto juu ya Temani, nao utayateketeza majumba ya Bosra.

Tazama sura Nakili




Amosi 1:12
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Elifazi, ni Temani na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi.


Akafa Bela, akamiliki Yobabu mwana wa Zera, wa Bosra, badala yake.


Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akatawala badala yake.


Maana upanga wangu umekunywa na kushiba mbinguni; tazama, utashukia Edomu, na juu ya watu wa laana yangu, ili kuwahukumu. Oba 1-14; Mal 1:2-5


Upanga wa BWANA umeshiba damu, umejazwa mafuta, kwa damu ya wana-kondoo na mbuzi, kwa mafuta ya figo za kondoo dume; maana BWANA ana dhabihu huko Bozra, machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.


Ni nani huyu atokaye Edomu, Atokaye Bosra akiwa na mavazi yenye madoa mekundu? Huyu aliye na nguo za fahari, Anayekwenda katika ukuu wa uweza wake? Ndimi nisemaye kwa haki, Niliye hodari wa kuokoa.


Kwa maana nimeapa kwa nafsi yangu, asema BWANA, kwamba Bozra utakuwa ajabu, na aibu, na ukiwa, na laana; na miji yake yote itakuwa ukiwa wa daima.


Basi, lisikieni shauri la BWANA; Alilolifanya juu ya Edomu; Na makusudi yake aliyoyakusudia Juu yao wakaao Temani; Hakika watawaburura, naam, wadogo wa kundi; Hakika malisho yao yatafadhaika kwa ajili yao.


Tazama, atapanda na kuruka kama tai, na kutandaza mabawa yake juu ya Bozra; na mioyo ya mashujaa wa Edomu siku hiyo itakuwa kama moyo wa mwanamke akiwa katika uchungu wa kujifungua.


Kuhusu Edomu. BWANA wa majeshi asema hivi, Je! Hakuna tena hekima katika Temani? Mashauri yamewapotea wenye busara? Je! Imetoweka hekima yao?


kwa sababu hiyo, Bwana MUNGU asema hivi; Nitanyosha mkono wangu juu ya Edomu, nitakatilia mbali nayo wanadamu na wanyama; nami nitaifanya kuwa ukiwa toka Temani; na mpaka Dedani wataanguka kwa upanga.


Maono yake Obadia. Ndivyo asemavyo Bwana MUNGU juu ya Edomu; Tumepata habari kwa BWANA, Na mjumbe ametumwa kati ya mataifa, Akisema, Haya, inukeni ninyi; Na tuinuke tupigane naye.


Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo