2 Samueli 23:7 - Swahili Revised Union Version7 Mtu atakayeigusa hiyo, Na awe na chuma na mpini wa mkuki, Nao watateketezwa papo hapo kwa moto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 kuishika, lazima kutumia chuma au mpini wa mkuki. Watu hao wataangamizwa kabisa kwa moto.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 kuishika, lazima kutumia chuma au mpini wa mkuki. Watu hao wataangamizwa kabisa kwa moto.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 kuishika, lazima kutumia chuma au mpini wa mkuki. Watu hao wataangamizwa kabisa kwa moto.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Yeyote agusaye miiba hutumia chombo cha chuma au mpini wa mkuki, nayo huchomwa pale ilipo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Yeyote agusaye miiba hutumia chombo cha chuma au mpini wa mkuki, nayo huchomwa pale ilipo.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Mtu atakayeigusa hiyo, Na awe na chuma na mpini wa mkuki, Nao watateketezwa papo hapo kwa moto. Tazama sura |