Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 23:6 - Swahili Revised Union Version

6 Lakini hatawachipuza watu wasiofaa; Watakuwa wote kama miiba ya nyikani ya kutupwa, Maana haichukuliki kwa mkono,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Lakini wasiomcha Mungu wote ni kama miiba inayotupwa tu, maana haiwezi kuchukuliwa kwa mkono;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Lakini wasiomcha Mungu wote ni kama miiba inayotupwa tu, maana haiwezi kuchukuliwa kwa mkono;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Lakini wasiomcha Mungu wote ni kama miiba inayotupwa tu, maana haiwezi kuchukuliwa kwa mkono;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Lakini watu waovu wote watatupwa kando kama miiba, ambayo haikusanywi kwa mkono.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Lakini watu waovu wote watatupwa kando kama miiba, ambayo haikusanywi kwa mkono.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Lakini hatawachipuza watu wasiofaa; Watakuwa wote kama miiba ya nyikani ya kutupwa, Maana haichukuliki kwa mkono,

Tazama sura Nakili




2 Samueli 23:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;


Basi ilitukia ya kwamba kulikuwapo mtu asiyefaa, jina lake akiitwa Sheba, mwana wa Bikri, Mbenyamini; naye akapiga tarumbeta, akasema, Sisi hatuna sehemu katika Daudi, wala hatuna urithi katika mwana wa Yese; nendeni kila mtu hemani kwake, enyi Israeli.


Kama fahirisi kati ya miiba, Kadhalika mpenzi wangu kati ya binti.


Mimi sina hasira ndani yangu; Kama mbigili na miiba ingekuwa mbele zangu, Ningepanga vita juu yake, Ningeiteketeza yote pamoja.


Nao mataifa watakuwa kama kuchoma chokaa, kama miiba iliyokatika, iteketezwayo motoni.


Na wewe, mwanadamu, usiwaogope hao, wala usiyaogope maneno yao, ijapokuwa miiba na michongoma inakuzunguka, nawe unakaa katikati ya nge; usiyaogope maneno yao, wala usifadhaike kwa sababu ya nyuso zao, wajapokuwa ni nyumba yenye kuasi.


Mtu aliye mwema miongoni mwao ni kama mbigili; mtu aliye mwenye adili miongoni mwao ni mbaya kuliko boma la michongoma; hiyo siku ya walinzi wako, yaani, siku ya kujiliwa kwako, imefika; sasa kutatokea kufadhaika kwao.


Kwa maana kama miiba wametatana, kama walevi wamelewa, watateketezwa kama mabua makavu.


Mwana wa Adamu atawatuma malaika wake, nao watakusanya kutoka katika ufalme wake machukizo yote, na hao watendao maasi,


Kumetoka katikati yako mabaradhuli kadha wa kadha, wamewapotoa wenyeji wa mji wao, wakisema, Twendeni tukaabudu miungu mingine msiyoijua;


Basi, hao wana wa Eli walikuwa watu wasiofaa kitu; hawakumjali BWANA,


Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo