2 Samueli 23:6 - Swahili Revised Union Version6 Lakini hatawachipuza watu wasiofaa; Watakuwa wote kama miiba ya nyikani ya kutupwa, Maana haichukuliki kwa mkono, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Lakini wasiomcha Mungu wote ni kama miiba inayotupwa tu, maana haiwezi kuchukuliwa kwa mkono; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Lakini wasiomcha Mungu wote ni kama miiba inayotupwa tu, maana haiwezi kuchukuliwa kwa mkono; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Lakini wasiomcha Mungu wote ni kama miiba inayotupwa tu, maana haiwezi kuchukuliwa kwa mkono; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Lakini watu waovu wote watatupwa kando kama miiba, ambayo haikusanywi kwa mkono. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Lakini watu waovu wote watatupwa kando kama miiba, ambayo haikusanywi kwa mkono. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Lakini hatawachipuza watu wasiofaa; Watakuwa wote kama miiba ya nyikani ya kutupwa, Maana haichukuliki kwa mkono, Tazama sura |